Header Ads Widget

Responsive Advertisement

ANGOLA, WIZARA YA MAMBO YA NDANI, UHAMIAJI NA USALAMA KUZUIA BIASHARA HARAMU KATIKA MIPAKA




Wizara ya mambo ya ndani ya nchi uhamiaji,usalama na usalama wa wadau wanafanya tathimini ya mpaka kati ya mkoa Ohangwena na Angola


Kusudi nikutambua maeneo yaziada ya kuingia

Hii ilitokana na kuongezeka kwa harakati kati ya hizo nchi mbili


Chrispin Kabwi, Naibu Mkurugenzi wa udhibiti mpaka wa uhamiaji katika mikoa ya Oshara, Oshikoto na Ohangwena,


Mnamo siku ya jumanne alisema kituo cha mpakacha Oshikango, ambacho kinatumika kama kituo rasmi cha kuingia Angola, kimekuwa mbali sana kwa wasafiri


Kituo cha mpaka cha Oshikango kiko takribani kilometa 300 kutoka Okongo,

Hii inasababisha watu kuvuka na kufanya biashara kinyume cha sheria


Kwa sasatunashirikishawanajamii na viongozi wa kimila tulianza tarehe 12julai huko Oshikombe, Okongo na tutakamilisha julai 19 kwenye Beacon 16 " Alisema Kamwi"

Post a Comment

0 Comments