Header Ads Widget

Responsive Advertisement

FCS YAINGIA MAKUBALIANO HAYA NA TCRA CCC

 

Foundation for Civil Society (FCS) na Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Mawasiliano la Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA CCC) wamesaini  makubaliano ya miaka mitatu yenye lengo la kuimarisha juhudi za kulinda haki za Watumiaji wa huduma katika Sekta ya Mawasiliano Tanzania.

Akizungumza na waandishi wa Habari leo Jijini Dar es Salaam katika hafla ya kusaini makubaliano hayo, Mkurugenzi Mtendaji wa FCS Justice Rutenge amesema ushirikiano huo unatambua umuhimu wa kuwalinda Watumiaji dhidi ya mbinu za kibiashara zisizo za haki katika soko.

Post a Comment

0 Comments