MASHUJAA FC VS SIMBA SC NANI KUIBUKA NA ALAMA 3?


Kama ilivyo kuwa desturi ya shujaa lazima aibuke shujaa kwenye kila kitu, 

Kuelekea mchezo wa leo Mashujaa Fc  @mashujaafcofficial  akiwa nyumbani akimkaribisha mnyama simba mwanalunyasi @simbasctanzania 


Je, Mashujaa Fc watalitendea haki jina la Mashujaa na kuibuka kidedea kubeba alama 3, ?


Je, Simba Sc ataweza kufurikuta mbele ya mashujaa hawa? 

Au ndokusema ataziokota alama zake tatu kiulaini?


Ni upi mtazamo wako kuelekea pambano hili leo hii ifikapo saa 10;00 jioni.


Vipi kuhusu correct score, unaweza kuwa ngapi ngapi kwa dakika 90 za mchezo huu.

 

1 Comments

Previous Post Next Post