WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YANOGESHA MEI MOSI 2025

 

.……....

Na Sixmund Begashe - Singida

Watumishi wa Wizara ya Maliasili na Utalii Leo tarehe 1 Mei 2025, wameungana na wafanyakazi wote Duniani kwenye Maadhimisho Siku ya wafanyakazi Duniani MEI MOSI ambayo kitaifa yamefanyika mkoani Singida huku Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa Mgeni rasmi.

Maadhimisho hayo yalipambwa na matembezi mbele ya jukwa kuu mapoja na burudani mbalimbali ambapo Watumishi wa Wizara ya Maliasili na Utalii walinog'esha maadhimisho hayo kwa Mavazi rasmi na mabango yaliyobeba ujumbe wa kutangaza vivutio vya Utanii na kuhamasisha Uhifadhi.

   

mussa khalidi

I am ,Journalist, Presenter Radio & TV, Producer, Video editor, Graphics Designer, Layout Newspaper designer,Contact: +255 659 669 902 Email: mussakhalid70@yahoo.com or muxabhai200@gmail.com

Post a Comment

Previous Post Next Post