JSON Variables

Header Ads Widget

Responsive Advertisement

Jumapili, 29 Juni 2025

TUWE NA MAONO YA KUIONA KESHO YETU – DKT. BITEKO


................


📌Ni katika Bonanza la Wizara ya Nishati na Taasisi zake

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Wafanyakazi wa Wizara ya Nishati na Taasisi zake kuwa na maono ya kuweza kuona mbali hali itakayowasaidia  katika utendaji wa kazi na kupata suluhisho ya changamoto zinazoweza kutokea kabla ya changamoto hizo kutokea.

Dkt. Biteko ameyasema hayo leo Julai 28,2025 katika viwanja vya Jamhuri  Jijini Dodoma, wakati akizungumza na watumishi wa wizara na Taasisi zake wakati wa kufunga Bonanza la michezo mbalimbali lililohusisha Wizara ya Nishati na Taasisi zake.








 

0 comments:

Chapisha Maoni

Listen Mkisi Radio