Chelsea wako kwenye mazungumzo na Borussia Dortmund kuhusu kumnunua mshambuliaji wa Ujerumani Karim Adeyemi, 22. (Bild – in Deutsch)
West Ham wanavutiwa na mshambuliaji wa Aston Villa na Colombia Jhon Duran, 20. (Sky Sports),
Manchester United wamekubaliana kwa maneno na beki wa Bayern Munich Mholanzi Matthijs de Ligt mwenye umri wa miaka 24. (Evening manchester News),
0 Comments