Mkuu wa kikosi cha jeshi la polisi la Kenya, linaloongoza kikosi cha kimataifa cha kupambana na magenge ya uhalifu nchini Haiti,amesema hakuna nafasi ya kushindwa katika juhudi hizo za kuleta utulivu nchini humo
"Tunakazi tuliyojitolea kuifanya.Na kwahivyo tunapswa kuifanya kwa viwango vya ubora kadri ya uwezo wetu na kuleta mafanikio. Kazi yetu ni kuhakikisha tunarudisha amani kote nchini Haiti.''
0 Comments