Header Ads Widget

Responsive Advertisement

UNADHANI KIPI KIMEMKUTA MBAPE?


 Hakuna mchezaji aliyekosa nafasi nyingi kama Kylian Mbappe kwenye Euro 2024 akiwa na fursa 24 na bao moja pekee la penalti.


Baada yake ni Cristiano Ronaldo, ambaye hangeweza kutumia nafasi zake 23 na kufunga bao.


"Ndoto yangu ilikuwa kushinda ubingwa wa Uropa, lakini matokeo ya kazi yetu yalikuwa kufeli."


Hii ilikuwa tathmini ya wazi ya Kylian Mbappe, bingwa wa Kombe la Dunia, ambaye alitarajiwa kuwa na uwezo wa kuiongoza Ufaransa kutwaa ubingwa huko Ujerumani.

Post a Comment

0 Comments