Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mh. Dkt. Hussein Ally Mwinyi amefanya uteuzi leo kwa kumteua Ndugu Madina Mjaka Mwinyi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Mafunzo ya Amali Zanzibar.
Ndugu Madina ni Mstaafu katika Utumishi wa Umma Zanzibar.
0 comments:
Post a Comment