JSON Variables

Thursday, May 8, 2025

TANZANIA NA MSUMBIJI ZA SAINI MAKUBALIANO KATIKA NYANJA YA UCHUMI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. Samia Suluhu Hassan na Raisi wa Jamhuri ya Msumbiji Mh. Daniel Francisco Chapo wamekubaliana kuendeleza ushirikiano wa kiuchumi baina ya Tanzania na Msumbiji hususani katika eneo la biashara na uwekezaji kwa kuunda Tume ya pamoja ya Uchumi (JEC) ili kutatua changamoto za kiuchumi.

 



0 comments:

Post a Comment