JSON Variables

Header Ads Widget

Responsive Advertisement

Jumatatu, 7 Julai 2025

MAADHIMISHO YA SIKU YA KISWAHILI DUNIANI YAFANYIKA OSAKA JAPAN

Matukio mbalimbali katika picha wakati wa maadhimisho ya kilele cha siku ya Kiswahili duniani, tarehe 7, Julai, 2025. Maadhimisho hayo yaliyofanyika katika eneo la Yumeshima; jijini Osaka, nchini Japan, yamekuwa sehemu ya maonesho ya biashara ya dunia (Expo 2025, Japan) yanaondelea nchini Japan.

Ikumbukwe kuwa maadhimisho ya siku ya Kiswahili kikanda (Afrika Mashariki) yanafanyika nchini Rwanda na kwa Tanzania, maadhimisho hayo yanafany9ika visiwani Zanzibar.  

0 comments:

Chapisha Maoni

Listen Mkisi Radio