JSON Variables

Header Ads Widget

Responsive Advertisement

Ijumaa, 30 Mei 2025

CHAMA CHA MAPINDUZI CHAZINDUA ILANI YAKE YA UCHAGUZI MKUU MWAKA 2025

Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 yazinduliwa leo katika mkutano mkuu maalum wa chama cha mapinduzi (CCM) Taifa unaonedelea katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Center Jijini Dodoma.


Akizundua ilahi hiyo Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi (CCM) na Rais wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na Katibu Mkuu na mgombea mwenza wa Chama cha Mapinduzi Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar na Rais wa Zanzibar Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, makamu mwenyekiti wa CCM Mhe. Stephen Wasira pamoja na viongozi wengine wa chama hicho.







0 comments:

Chapisha Maoni

Listen Mkisi Radio