Diwani Wa Kata ya Ilala Mhe.Saady khimji amegawa tuzo Kwa wanafunzi waliofanya vizuri Katika masomo Yao Pamoja na Kwa walimu wanaofanya kazi vizuri Katika shule ya Mzizima English Medium School Jijini Dare s salaam.
Hafla hiyo Mgeni Rasmi Alikuwa Mhe.Saady khimji ambaye ndo amegawa tuzo Hizo.
Khimji Katika hafla hiyo amewaomba wanafunzi kusoma Kwa bidii Kwasababu wao ndo Taifa la kesho.
Pia amesema ifikapo uchaguzi mkuu Wana ilala wajitokeze Kwa wingi kwenda kumpigia Kura Mhe.Rais wa Jamhuri ya Muuungano Wa Tanzania Mhe, Samia Suluhu Hassani Pamoja na Mussa Hassan Zungu.
Amesema Zungu amekuwa kinara wakutatua Changamoto Mbalimbali Katika jimbo lake analoliongoza Ilala Sasa Maendeleo yamekuwa makubwa Kwasababu ya Zungu.
Amemaliza kwakusema ilala Inamafanikio makubwa kwahiyo Ufikapo uchaguzi mkuu Wana ilala wamchague Mussa Hassan Zungu Kwa moyo mmoja.
0 comments:
Post a Comment