JSON Variables

Sunday, May 11, 2025

CHARLES HILLARY AFARIKI DUNIA LEO ALFAJIRI


Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Znz ambaye pia ni Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais wa Zanzibar Charles Hillary, amefariki alfajiri ya leo May 11 2025 katika Hospitali ya Muhimbili Mloganzila, alikokuwa akipatiwa matibabu.


Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Zanzibar Mhandisi Zena Ahmed Said, amethibitisha kutokea kwa kifo hicho na kutoa pole kwa Familia, Ndugu, Jamaa na Marafiki wote walioguswa na msiba huu.

Charles Hillary ni miongoni mwa Watangazaji bora wa Redio na Televisheni Nchini Tanzania ambaye amefanya kazi katika vituo mbalimbali vya ndani na nje ya Tanzania ikiwemo Radio One 

0 comments:

Post a Comment