Kijana wangu njoo usikie maneno yangu
Usioe mwanamke ambaye kwa kumtazama tu unajua ana matunzo ,anaweza kuwa anajitunza mwenyewe anapendeza ,au ana matunzo nyuma usiyoyajua ..endapo unajua maisha Yako ni ya kuungaunga usisogee Kaa pembeni.
Chukuaaliye pauka au wa kawaida ili angalau wewe unatakapokuwa unampa mafuta ya 3000 anafurahi na kuona anathaminiwa ,, lakini ukichukua mtu anapaka mafuta ya 140000, sabuni ya 40000
Wakati wewe laki na40 unaipigia hesabu za mwezi mzima 😃😃 utaenda pasuka kichwa huko ....
Mwanamke anapiga pamba za 700k
Wewe unawaza kumzawadia kitenge cha morogo utaenda kuumia
OA mwanamke anayefanana na kiwango chako Cha maisha utaishi kwa furaha ..OA mwanamke anayezidi kiwango chako Cha maisha ukapate presha ...
Usije sema sikusiki ..umesikia Leo
#PASTORLEAH
.
0 comments:
Post a Comment