JSON Variables

Header Ads Widget

Responsive Advertisement

Jumatatu, 9 Juni 2025

MAKAMU WA RAIS AKISHIRIKI UFUNGUZI WA MKUTANO WA TATU WA BAHARI


....................

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akishiriki ufunguzi wa Mkutano wa Tatu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Bahari (UNOC3), unaofanyika Jijini Nice nchini Ufaransa leo tarehe 09 Juni 2025. Kulia ni Waziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe. Shaaban Ali Othman.

0 comments:

Chapisha Maoni

Listen Mkisi Radio