Big moves in aviation! ATCL, TAA, TCAA na TMA sign one game-changing MoU – future of Tanzania’s skies looks digital, united & full of global dreams.
Mageuzi makubwa kwenye sekta ya anga! ATCL, TAA, TCAA&TMA wasaini makubaliano ya Ankara Jumuishi– anga la Tanzania kuendelezwa kidijitali.
Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) imepiga hatua zaidi kuelekea kwenye masoko ya dunia ambapo inaendelea kuunganisha mifumo yake na wadau wa kisekta.
Akizungumza katika hafla hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa ATCL, Mha. Peter Ulanga, amesema muunganiko wa mifumo hiyo ni hatua madhubuti inayoendana na mageuzi ATCL ili kuendelea kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma kwenye masoko ya ndani na nje ya Tanzania.
"Tunaamini huu ni mwanzo wa safari mpya. Safari ya kuifanya ATCL kuwa kidigitali zaidi", amefafanua, Mha. Ulanga.
Taasisi zote nne kwa pamoja zimetambua mchango wa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kuwezesha mafanikio haya.
0 comments:
Chapisha Maoni