JSON Variables

Header Ads Widget

Responsive Advertisement

Jumamosi, 24 Mei 2025

KIKWETE AKUTANA NA VIONGOZI WA CHAMA CHA WASIOONA NA KUJADILI MASUALA YA MAENDELEO, CHANGAMOTO NA UWEZESHAJI WAO.


 KIKWETE AKUTANA NA VIONGOZI WA CHAMA CHA WASIOONA NA KUJADILI MASUALA YA MAENDELEO, CHANGAMOTO NA UWEZESHAJI WAO.


Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu- Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu- Mhe. Ridhiwani Kikwete amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa Halmashauri kuu ya Chama cha wasioona Tanzania (TLB) ambao pia ni wenyeviti wa Mikoa wakiongozwa na Marco Mashauri Mwenyekiti wa chama cha wasioona mkoa wa Shinyanga, Yohana Mwoga kutoka Mbeya, Fred Fred Mwankosole kutoka Kilimanjaro na Pascal Msigwa kutoka Njombe.

Kikao hicho kimefanyika leo Mei 23, 2025 katika Ofisi ya Mhe. Ridhiwani Kikwete jijini Dodoma na kujadili masuala mbalimbali ya maendeleo, changamoto na uwezeshaji wa watu wasioona Tanzania.





0 comments:

Chapisha Maoni

Listen Mkisi Radio