JSON Variables

Header Ads Widget

Responsive Advertisement

Jumamosi, 31 Mei 2025

WAZIRI MKUU AKUTANA NA MWENYEKITI WA CHAMA CHA URAFIKI WA WABUNGE WA JAPAN NA AFRIKA

................

Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa Mei 29, 2025 alikutana na kuzungumza na Mwenyekiti  wa Chama cha Wabunge wa Japan cha Urafiki na Afrika (Africa Union Parliamentarians Friendship) Mheshimiwa  Ichiro Aisawa, kwenye Ofisi za Bunge la Japan.

Katika mazungumzo yao walijadili kuhusu kuendeleza urafiki kati ya Bunge la Tanzania na Bunge la Japan.

Pia, walijadili kuhusu masuala mbalimbali ya uwekezaji na biashara kati ya Tanzania na Japan, pamoja na kumkaribisha kutembelea Tanzania ili kujionea vivutio mbalimbali ya utalii.


 

0 comments:

Chapisha Maoni

Listen Mkisi Radio